Posted on: October 9th, 2017
TAKWIMU za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilizotolewa Februari, mwaka huu, zinaonyesha namna zao la korosho lilivyoliingizia taifa pato la dola milioni 346.6.
Pato hilo ni sawa na takriban sh. bilion...
Posted on: September 13th, 2017
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wametambulisha mpango mpya unaolenga kusajili na kutoa vyeti vya watoto chini ya miaka mitano kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Mpango huu unaotarajiwa kutolew...
Posted on: September 2nd, 2017
JWTZ yasaidia ujenzi wa shule Nanyumbu.
Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa msaada wa vifaa vya ujenzi kwa Shule ya Msingi Michiga B iliyoko kata ya Michiga wilayani Nayumbu. Misaada iliyo...