• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Video

  • Kusomea chini ya miti Mtwara sasa basi

    July 7th, 2018

    Mkuu wa mkoa atembela shule zilizokonga mitandao kwa kusomea chini ya mikorosho. ujenzi wake kukamilika sasa

  • Panya Choma kufungua fursa ya utalii Mtwara

    July 7th, 2018

    Umaarufu wa mkoa wa Mtwara katika kula chakula aina ya panya ni fursa mojawapoa ya kuvutia utalii mkoani hapa.  Akizungumza katika kipindi cha safiri nasi kilichokuwa kikirushwa moja kwa moja kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amesema hilo ni mojawapo ya malengo yake kuhakikisha fursa mbalimbali za mkoa wa Mtwara ikiwemo ulaji wa panya unatumika kama kivutio cha utalii.aidha yeye mwenyewe atakuwa wa kwanza kushiriki chakula hicho kinachotajwa kuwa kitamu zaidi.

  • Korosho yatumbua wengi Tandahimba

    April 4th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kisheria Meneja Wa Chama cha Ushirika cha Tandahimba na Newala (TANECU), Afisa Ushirika wilaya ya Tandahimba, Makatibu wa Vyama kadhaa vya msingi na baadhi ya wananchi ambao wameshiriki katika ufisadi wa kutisha katika kilimo cha korosho mkoani hapa.

    Mheshimiwa Byakanwa amechukua uamuzi huo baada ya kupokea taarifa ya uchunguzi wa madai ya malipo ya fedha za wakulima wa korosho msimu wa mwaka 2016/20117 na 2017/2018 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ambayo iliundwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mheshimiwa Sebastian Muungano Walyuba.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WADAU WA MAENDELEO MTWARA KUSAIDIA WALIOATHIRIWA NA MVUA

    February 10, 2025
  • RC SAWALA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MVUA

    February 08, 2025
  • RC MTWARA AMKABIDHI MKANDARASI MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA VITANO VYA UMWAGILIAJI

    February 08, 2025
  • RC MTWARA AGAWA VITANDA KWA KIKOSI CHA POLISI

    February 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.