• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Video

  • Jeshi l piolisi laimarisha ulinzi mpaka wa Tanzania-Msumbiji

    March 30th, 2020

    Jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama Vimeimarisha ulinzi katika mipaka ya Tanzania ili kuhakikisha wahalifu wanaofanya mauaji na vurugu nchini Msumbiji hawapati nafasi ya kuingia Tanzania.

    Hayo yamesemwa leo na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Liberatus Sabas wakati akikagua kikosi maalumu cha kupambana na uhalifu nchini kilichowasili mkoani Mtwara kwa ajili ya kuimarisha ulinzi katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji.

    Amesema wahalifu hao wamekuwa wakivamia  kambi za jeshi, vituo vya polisi, kuchoma moto na kuchukua silaha nchini Msumbiji na pia wameripotiwa kuvamia benki na kupora fedha huko huko Msumbiji.

    “Kule hali si shwali kama ambavyo mmekuwa mkisikia kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Sisi kwa kutambua hilo, na kutambua umuhimu wa sisi kama Taifa, na umuhimu wa wananchi wa Tanzania kuwa shwali tumejipanga kuhakikisha tatizo hili haliji huku kwetu.”

    Amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa kuwasilisha taarifa za mtu yeyote ambaye wanamtilia shaka.

  • Mashamba ya Ufuta ya halmashauri kuanzishwa Mtwara

    June 12th, 2019

    Halmashauri Mtwara kuanzisha kilimo cha Ufuta

    Na Evaristy Masuha.

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ameitaka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendele kuanzisha mashamba darasa ya ufuta mkoani hapa.

    Agizo hilo amelitoa leo wakati akizindua mafunzo ya matumizi sahihi ya viuatilifu  kwa wakulima na Maafisa Ugani katika kijiji cha Maili Kumi wilayani Mtwara. Amesema mashamba hayo yatasaidia kutoa elimu kwa wakulima wa ufuta na hivyo kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Pia, itapanua uelewa wa teknolojia ya kilimo na kuachana na imani ya baadhi ya wakulima kuwa shamba la ufuta linahitaji kupumzishwa kila baada ya msimu mmoja wa kilimo.

    Amezitaja baadhi ya wilaya ambazo zinaweza kuanzishwa mashamba hayo ambayo yatamilikiwa na Halmashauri kuwa ni Masasi, Nanyumbu na Mtwara.

    “Dkt. Kapinga, Tunahitaji kuwa na shamba la mfano. Wasiliana na halmashauri ya Masasi tupate shamba kubwa la halmashauri ambalo tutalisimiamia kuonesha kilimo cha ufuta, Pia Nanyumbu na Mtwara.” Amesema Byakanwa.

    Amesema ardhi ya kilimo cha ufuta ipo ya kutosha hivyo ni suala la wakulima kuwezeshwa elimu. Amesema kwa sasa mkoa umedhamiria kuendeleza kilimo hicho ambacho kimeingizwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani kama ilivyo kwa zao la korosho.

    Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendelea (TARI–Naliendele) Dkt. Fortunatus Kapinga amesema Taasisi iko tayari kutekeleza agizo hilo. Amesema kilimo cha mazao mbadala imekuwa ni moja ya maekezo yao kwa wakulima wanakapoanzisha mashamba mapya ya korosho hivyo ni suala la kuweka msisitizo na kuongeza elimu zaidi.

    Mkoa wa Mtwara ni moja ya wazalishaji wakuu wa zao la korosho ambalo limekuwa likiuzwa kupitia utaratibu wa stakabadhi ghalani. Msimu wa 2019/2020 zao la ufuta pia limeingizwa katika utaratibu huo jambo ambalo linawafanya viongozi wa mkoa kusisitiza kilimo hicho.

  • Harmonize atua Masasi Rock Festival. Akutana na RC Mtwara

    June 4th, 2019

    Msanii wa Bongo Fleva Haromonize ametua Mjini Mtwara Tayari kuungana na wakazi wa mji wa Masasi kwa ajili ya kuutangaza utalii wa mji huo kupitia mlima Mkomaindo. Harmonize ambaye ametua na kundi la wasanii wenzake amesema lengo lake ni kuhakikisha sanaa ya kusini inainuka na hivyo kufikia ndoto yake ya kuhakikisha analipa fadhila kwa heshima aliyopewa na watu wa Kusini.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA ATOA WIKI MBILI UJENZI WA SHULE NANYUMBU UKAMILIKE.

    February 24, 2025
  • WIZARA YA KILIMO YAITAKA TARI KUWEKA MIKAKATI KUHAKIKISHA MICHE INAYOGAIWA KWA WAKULIMA INAZALISHA

    February 23, 2025
  • ATCL YAREJEA MTWARA KWA KISHINDO

    February 17, 2025
  • WATUMISHI OFISI YA MKUU WA MKOA MTWARA WASAMBAZA UPENDO KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO

    February 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.