Posted on: December 31st, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameishukuru Jumuiya ya maridhiano na viongozi wa dini kwa namna wanavyoshirikiana vema na serikali katika kuhakikisha amani na utulivu vinadumu mkoa ...
Posted on: December 30th, 2024
Uzinduzi wa msimu wa Kilimo katika Mkoa wa Mtwara umefanyika rasmi leo tarehe 30 Desemba 2024 ikiwa ni ishara ya kuaza rasmi kwa kilimo na uzalishaji wa mazao mbalimbali katika mkoa wa Mtwara.
Uzin...
Posted on: December 28th, 2024
Tamasha kubwa la Msangamkuu linalofanyika kila mwisho wa mwaka katika fukwe za Msangamkuu, halmashauri ya wiłaya ya Mtwara zimeanza rasmi zikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe.Abdallah Mwaipaya....