Posted on: February 7th, 2025
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala leo tarehe 07 Februari 2025 amezindua mkataba wa baraza la wafanyakazi huku akiwasisitiza watumishi kuzingatia haki na wajibu wao.
Kanali Sawala am...
Posted on: February 6th, 2025
Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, CPA. Bahati Geuzye amewataka watumishi wa ofisi za Wakuu wa wilaya kufanya kazi kwa bidii na uadilifu pia kutoa huduma bila upendeleo huku wakizingatia matumizi sahihi ya...
Posted on: January 28th, 2025
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameongoza zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linaloratibiwa na Tume huru ya Uchaguzi lililoanza mapema leo tarehe 28 Januari 202...