• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Maafisa Lishe watakiwa kutoa elimu ya lishe kwa wananchi

Posted on: February 16th, 2020

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe Gelasius Byakanwa akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa afua za lishe Mkoani Mtwara


Maafisa Lishe mkoani Mtwara wametakiwa kuhakikisha wanatoa elimu ya lishe kwa jamii ili kuondokana na maradhi yanayotokana na ukosefu wa chakula bora. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Gelasius Byakanwa wakati wa kikao cha tathimini ya utekelezaji wa afua za Lishe kilicho fanyika katika ukumbi wa Boma Mkoani hap. Amesema zipo changamoto ambazo zinawakumba jamii kutokana na ukosefu wa elimu hivyo maafisa wa lishe wakijikita katika kuifikia jamii hiyo changamoto hizo zitaondoka.

Akirejea tafiti za takwimu za hali ya lishe mkoani hapo amesema takribani Watoto 67,109 wamedumaa kutokana na lishe duni. Aidha, watoto  139, 981 wanaupungufu wa damu mwilini.

Katika kikao hicho kilichowahusisha viongozi mbalimbali wa mkoa huo wakiwemo wakuu wa wilaya, wakurugenzi na Maafisa wa lishe amewataka kujipanga ili siku moja wakutane kwa ajili ya mazoezi ya viungo ambayo ni mojawapo ya njia za kuboresha afya. Aidha baada ya mazoezi hayo wajitolee kuchangia damu.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa ni muendelezo wa vikao mbalimbali vyenye lengo la kutathimini njia bora ya kuhakikisha jamii inaondokana na magonjwa yanayotokana na lishe duni.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.