• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

Posted on: June 28th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, CPA. Bahati Geuzye ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali kuanzisha miradi itayoweza kuwaingizia mapato na kupunguza utegemezi kwa wafadhili kwani sera za wafadhili zinapobadilika inaweza kuathiri utekelezaji wa miradi husika.

CPA. Geuzye ametoa rai hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 alipokuwa akifungua Jukwaaa la mashirika yasiyo ya kiserikali lililolenga kufanya tathmini ya utekelezaji wa miradi na afua mbalimbali mkoani Mtwara kwa kipindi cha mwaka 2020/21-2024/25.

Mkoa wa Mtwara ni miongoni mwa mikoa ya Tanzania inayotekeleza miradi mbalimbali kwa kupitia Mashirika yasiyo ya Kiserikali ukiwa na Mashirika 77 yaliyo hai.

“Niwaombe muendelee kushirikiana na watendaji wa Serikali, wakiwaelekeza kufuata kanuni na utaratibu ni vema mkafanya hivyo. Pia mnapoweka mipango yenu ya utekelezaji kwa jicho la pekee niwaombe muweke vipaumbele maeneo ya pembezoni ili walengwa wote waweze kufikiwa.” Alieleza CPA. Geuzye

Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu Bw. Abdillah Mfinanga ameeleza mafanikio yaliyofikiwa na mashirika hayo ni utekelezaji wa miradi 96 iliyowanufaisha jumla ya watu 759,920.

Makundi yaliyonufaika na miradi hiyo ni pamoja na Vijana, Wakina Mama, Wazee, Watoto, watu wenye ulemavu, Wasichana, wanafunzi Katika Vyuo, shule za Msingi na Sekondari, Wafungwa na warahibu wa madawa ya kulevya, wagonjwa wa hospitalini na wa Majumbani, Watendaji wa Kimila kwa Maana ya Mangariba na Makungwi, Wataalamu wakuu wa Vitengo na Idara za Serikali, Wakulima na Wafugaji pia na Vijana wa Sekta ndogo ya usafirishaji (Boda boda).

Kauli mbiu ya Jukwaa hilo mwaka huu inasema, “Tathmini ya mchango wa NGOs katika maendeleo ya Taifa 2020/21-2024/25 mafanikio, changamoto, fursa na matarajio.”

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.