• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Historia

HISTORIA FUPI YA MKOA WA MTWARA.

Mkoa wa Mtwara ulianzishwa rasmi mwaka 1971 kutokana na Mpango wa Madaraka Mikoani ambao ulilenga kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi. Kabla ya hapo mkoa ulikuwa ndani ya Jimbo la Kusini ambalo lilijumuisha Mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara ambapo Makao Makuu ya Jimbo yalikuwa Lindi.

Mkoa huu ulipoanzishwa ulikuwa tayari na Wilaya tatu (3) ambazo ni Masasi iliyoanzishwa mwaka 1928 chini ya ukoloni wa Waingereza, Newala mwaka 1956 chini ya wakoloni wa Kiingereza na Mtwara ilianzishwa mwaka 1961. Kutokana na ongezeko la watu na kukua kwa Mkoa wa Mtwara ziliongezeka Wilaya nyingine 2 ambazo ni Wilaya ya Tandahimba iliyoanzishwa mwaka 1995 kutoka kwenye Wilaya ya Newala na Nanyumbu ilianzishwa mwaka 2006 kutoka Wilaya ya Masasi.


Neno Mtwara limetokana na neno la lugha ya Kimakonde “kutwala” ikiwa na maana ya kuchukua (kunyakua) kitu chochote.


KABILA NA UTAMADUNI WA WAKAZI.

Asilimia kubwa ya Wakazi wa asili wa eneo hili ni wamakonde ambao wanatumia lugha ya kimakonde kama nyenzo ya mawasiliano, katika jamii ya kimakonde wamegawanyika katika sehemu mbili, sehemu ya kwanza ni wale wanaoishi katika Ukanda wa Pwani wanajulikana kama ”Wamalaba” na wale wanaoishi tofauti na ukanda wa pwani ” wamakonde wa bara” ingawa wanaongea lugha moja lakini kuna baadhi ya tofauti katika mfumo wao mzima wa maisha katika shughuli za kiuchumi, kijamii na desturi zao. Ukitaka kushuhudia haya unaweza kutembelea maeneo ya pwani kama vile Msangamkuu, Mgao, Nalingu, Msimbati na maeneo mengine yenye asili ya Pwani ambapo utakutana na vitu tofauti na sehemu za bara kama vile Mbawala, Kitere, Dihimba, Nanguruwe pamoja na sehemu zingine za Mtwara Vijijini.


 Orodha ya Wakuu wa Mkoa wa Mtwara

  •  Bw. John Nzunda 1962 - 1972
  •  Dr.Wilbert Kleruu 1972 - 1974
  •  Balozi Charles Kileo 1974 - 1977
  •  Lt. Col Kabenga Nsa Kaisi 1978 - 1980
  •  Bw.Lawi Nangwanda Sijaona 1980 - 1981
  •  Bw. Ibrahim Sufian Kajembo 1981 - Des 1990
  •  Col. Ferdinand Swai Des 1990 - Feb 1992
  •  Bibi Kate Kamba Feb 1992 - Mei 1994
  •  Col. Kabenga Nsa Kaisi Mei 1994 - Feb 2003
  •  Bw. Isidore Leka Shirima Feb 2003 - Jan 2006
  •  Bw.Henry Daffa Shekifu Feb 2006 - Apr 2007
  •  Col.Mst. Anatoli A. Tarimo Mei 2007 - Sep 2011
  •  Col. Mst. Joseph Simbakalia Sept. 2011 - Nov 2014
  •  Mhe. Halima Omari Dendego Nov 2014 - Okt 2017
  •  Mhe. Gelasius Gasper Byakanwa Okt 2014 - Mei  2021
  •  Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti Mei  2021 - Jul 2022
  •  Kanali Ahmed Abbas Ahmed Jul 2022 - Machi 2024
  •  Kanali Patrick Kenan Sawala  Machi 2024 Hadi Sasa.

kwa maelezo zaidi bonyeza HAPA 

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.