Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wilaya ya Newala


Mkuu wa Wilaya ya  Newala Mhe. Aziza Mangosongo

Wilaya ya Newala ni moja kati ya wilaya 5 za Mkoa wa Mtwara na ina eneo la Kilomita za mraba 2,439. Kiutawala Wilaya imegawanyika katika Halmashauri 2 ambazo ni Halmashauri ya Mji wa Newala na Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Inazo Tarafa 6. Kata 38. Vijiji 26 na Vitongoji 189 zinazounda Halmashauri ya Mji Newala na Kata 22, Vijiji 107 na Vitongoji 303 vinavyounda Halmashauri ya Wilaya Newala. Wilaya pia ina majimbo 2 ya uchaguzi ya Newala Mjini na Newala Vijijini.

Wilaya hii ipo Kusini Mashariki mwa Tanzania. Inapakana na Wilaya ya Lindi Vijijini kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Tandahimba upande wa Mashariki, Wilaya ya Masasi upande wa Magharibi. Kwa upande wa Kusini Wilaya ya Newala inapakana na Jamhuri ya Watu wa Msumbiji.

Wilaya ipo kati ya nyuzi 390 – 400 Mashariki na nyuzi 100 – 110 Kusini mwa Ikweta.

Wilaya ya Newala iko katika maporomoko ya Makonde yenye mwinuko wa mita 200-900 kutoka usawa wa bahari na ina ukubwa wa eneo la kilometa za mraba 2,439. Eneo linalofaa kwa kilimo ni Ha 196,000. Eneo la malisho ni Ha 51, 400. Eneo la Umwagiliagi ni Ha 2,100 na eneo la Hifadhi ya Misitu ni Ha 1,500. Umbali kutoka Makao Makuu ya wilaya hadi Mtwara mjini kwa njia ya barabara ni Km.166.

SHUGHULI ZA KIUCHUMI

Asilimia 97% ya wakazi wa Newala wanajishughulisha na Kilimo pamoja na Ufugaji wakati asilimia 3 ni wafanyabiashara na Watumishi.

Wastani wa pato la mwananchi wa Wilaya ya Newala ni Tshs 569,736/= kwa mwaka. Wastani huu umezingatia mapato yanayotokana na uzalishaji wa mazao ya Kilimo kama vile Korosho kama Zao Kuu la Biashara. Mazao mengine ni Karanga, Njugu, Mbaazi, Mpunga na Mahindi n.k. ambayo wakulima wanayatumia kama zao la chakula na ziada huuza ili kujiongezea kipato.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.