• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wilaya ya Tandahimba

Wilaya ya Tandahimba inapakana na Wilaya ya Newala kwa upande wa magharibi, Wilaya ya Mtwara upande wa mashariki, Mkoa  wa Lindi upande wa Kaskazini  na Mto Ruvuma upande wa Kusini ambao ni mpaka Rasmi  na nchi ya Msumbijji.

Wilaya ina eneo la kilomita za mraba 1,673,31. Kati ya hizo kilomita za mraba 1,573,04 zinafaa kwa kilimo na ufugaji.

Wilaya ina miji midogo miwili ya Tandahimba na Mahuta, Tarafa 3 za Litehu, Namikupa na Mahuta, Kata 32, Vijiji 143, Vitongozji 654 na Jimbo moja la uchaguzi.

Kwa mjibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya ilikuwa na wakazi 2227,901 (wanawake 130,456 na wanaume 112,445). Kati ya watu wote, wilaya inakadiriwa kuwa na nguvu kazi ya wananchi 87,777 (wanawake 50,079 na wanaume 37,698).

Wastani wa pato la wilaya (GDP-Provisional) kwa mwaka 2015/2016 ilikuwa ni Bilioni 134.42 na katika kipindi cha 2016/2017 pato la wilaya limeongezeka hadi kufikia Bilioni 280.41 kutokana na uzalishaji wa mazao ya biashara hasa korosho pamoja na mzunguko wa fedha za wananchi.

Wastani wa Pato la mwananchi kwa mwaka wa fedha 2015/2016 katika wilaya lilikuwa shilingi (GDP 563,312/= Per Capital Income). Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 pato la mwananchi linakadiriwa kufikia shilingi 1,154,440.2 kutokana na uzalishaji wa korosho



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.