• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

Posted on: June 3rd, 2025

Mwenyekiti wa Kamati ya michezo mkoa wa Mtwara ambae pia ni Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara CPA. Bahati Geuzye amewapongeza walimu, walezi na wanafunzi wa shule za Msingi mkoani Mtwara kwa maandalizi mazuri ya mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Tanzania kwa Shule za Msingi (UMITASHUMTA) yanayotarajiwa kuanza tarehe 07 Juni 2025 mkoani Iringa.

CPA. Bahati ametoa pongezi hizo leo tarehe 03 Juni 2025 alipotembelea kambi ya mazoezi ya wanafunzi hao ambapo jumla ya wanafunzi 120, walimu wa michezo 16 pamoja na daktari mmoja wanatarajia kusafiri siku ya kesho.

“Sisi kama Mkoa tunaahidi kuangalia ustawi wenu mnapokuwa katika kambi, mnaposafiri na mtakapofika kule. Mimi sina shaka kuwa mtarudi na vikombe tena vingi kabisa.” Alieleza CPA. Bahati.

Aidha, CPA. Bahati amewashukuru wazazi na walezi wa watoto wanaoshiriki mashindano hayo kwa kwakuwaruhusu watoto wao waweze kushiriki huku akiwasisitiza watoto hao kufanya michezo pamoja na kuzingatia vema masomo yao.

Michezo itakayochezwa katika mashindano hayo ni pamoja na mpira wa miguu, mpura wa mikono, mpira wa wavu, soka maalumu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu, mpira wa mikono, mpira wa kengele kwa wasioona na wenye uoni hafifu, mpira wa kikapu, riadha, kwaya, ngoma pamoja muziki wa kizazi kipya.

Mashindano ya UMITASHUMTA 2025 yamebebwa na Kauli mbiu isemayo “Viongozi bora ni msingi maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo; Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 Kwa Amani na utulivu.”


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.