• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC aagiza ujenzi wa shule ulenge shule za mchepuo wa sayansi

Posted on: July 15th, 2018

Afisa Elimu Mkoa, Germana Mung'aho akimuonesha Mkuu wa Mkoa Baadhi ya Vikombe vya mashindano ya UMISETA na UMITAMSHUMTA vilivyoletwa na wanafunzi wa Mkoa wa Mtwara katika mashindano yaliyofanyika kitaifa 2018 mjini Mwanza.


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amewataka Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya kuhakikisha katika mipango yao ya ujenzi wa shule za kidato cha sita wanajenga shule za Mchepuo wa sayansi. Amesema kwa kuanzisha shule za mchepuo huo kutawavutia wanafunzi wengine kusoma masomo hayo kutokana na hamasa ya wenzao. Pia itasaidia kuondoa tatizo la walimu wa masomo hayo. kinachotakiwa ni viongozi kudhamiria na kuhakikisha mahitaji yote ya ujenzi wa shule zenye sifa hizo wanayatekeleza.

Kwa upande wa vyumba vya madarasa, amesema wameanza na utatuzi wa tatizo hilo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara ambapo shule 10 ambazo wanafunzi wake walikuwa wanasomea chini ya miti zimejengewa vyumba vya madarasa, Ameagiza kila Mkurugenzi ahakikishe anaondoa changamoto hiyo katika eneo lake.

Vilevile amepiga marufuku kusajili shule ambazo hazina vigezo. Ameeleza kuwa mapungufu mengi ya vyumba vya madarasa na ofisi za walimu yametokana na wenye jukumu la usajili wa shule hizo kutofuata vigezo. Amewataka wasikubali kushinikizwa na wanasiasa kwa matamanio yao ya kisiasa.

Bonyeza HAPA kupata picha na maelezo zaidi

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.