• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Gaguti: MTWARA TUMEFIKIA ASILIMIA 85 CHANJO YA UVIKO -19

Posted on: September 27th, 2021

Na Michael Bakiri -

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti, amewapongeza viongozi na wananchi wa Mtwara kwa mapokeo mazuri ya chanjo ya UVIKO 19 katika mkoa huo, Mkoa wa Mtwara hadi kufikia siku ya leo umekuwa mstari wa mbele kwa kufikia asilimia 85  ya chanjo ya UVIKO 19  kati ya dozi 20,000 ilizokuwa zimepokelewa tokea Julai, 28,2021 kwenyeMkoa  huo.

Amesema kuwa, katika kuhakikisha asilimia 15 za dozi zilizobaki zinakamilika fursa za chanjo zitolewe kwa wananchi hususani kwa maeneo ambayo yalibainika kuwa chini katika uchanjaji.

Katika kufanikisha zoezi hilo Gaguti amesisitiza kuwa, katika zoezi Shirikishi na Harakishi linalo endeshwa na Serikali kwa sasa, ni vizuri kila mtu ambaye bado hajajitokeza, aweze kujitokeza apate elimu na akielimika aweze kupatiwa chanjo ya UVIKO 19.

Mhe. Gaguti amewataka wadau kuendelea kutoa elimu kwa njia mbalimbali kupitia vikao vya kamati za msingi vya afya, kwenye Halmashauri, sambamba na kwenda kwa wananchi kufanya mikutano vijiji na Mitaa,  kutoa ufafanuzi na maelekezo sahihi  kwenye sinto fahamu kwa baadhi ya makundi ya watu.

“Kuanzia tarehe 01 Oktoba 2021   wataalam wapite nyumba kwa nyumba na maeneo   yenye mikusanyiko sokoni, stendi na sehemu zinazotoa huduma mbalimbali ikiwepo kwenye Misikiti na makanisa kwa siku za ijumaa na jumapili na  kutoa huduma za chanjo kabla na baada ya ibada, huku wakizingatia namna rahisi ya utoajiwa  chanjo kwa haraka bila ya foleni ili kurahisisha zoezi hilo.

Mhe. Gaguti amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya UVIKO 19 jambo ambalo litawezesha wananchi wengi kupata chanjo  na kufanya kazi zao kwa uhuru bila ya woga wa virusi vya UVIKO.

Pichani: Mhe. Brigedia Jenerali Marco Gaguti (Kushoto) pamoja na Katibu Tawala Ndg. Abdallah Mohamed Malela (Kulia)  

wakati wa kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi, Kilichofanyika ukumbi wa Boma uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Leo.


Wajumbe  kamati ya Ulinzi na Usalama 

Wakuu wa Wilaya

Washiriki na Wadau mbalimbali

# Mtwara bila ya UVIKO inawezekana

#Ujanja Kuchanja.

#Kilammoja atimize wajibu wake.

#MTWARA KUCHELE

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.