Taasisi ya Sport Development Aid (SDA) imetoa msaada wa vifaa vya michezo kwa wanafunzi wa mkoa wa Mtwara wanaotarajiwa kushiriki katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Tanzania kwa Shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA) yanayotarajia kuanza tarehe 7 Juni 2025 mkoani Iringa.
Mashindano hayo hufanyika kila mwaka yakiratibiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI ikishirikiana na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara
Anuani ya Posta: 544, MTWARA
Simu: +255 23 2333014
Mobile: +255 23 2333014
Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz
Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.