Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Tuzo za wafanyakazi bora zizingatie Utendaji kazi

Posted on: May 2nd, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwaamewataka waajili wote mkoani Mtwara kuhakikisha wanajari maslahi yawafanyakazi na kuhakikisha wanawatunuku vyeti vya ubora kulingana na utendaji kaziwao. Amesema anazo taarifa za baadhi ya taasisi kutoa zawadi za ufanyakazi borakwa ratiba bila kuzingatia utendaji kazi. 

“Haiwezekani mfanyakazi bora akapatikana kwaratiba. Hiyo haiwezei kuchochea utendaji kazi.” Amesema Byakanwa

Kauli hiyo ameitoa jana wakati wa maadhimisho yasiku ya wafanyakazi duniani ambayo kimkoa yamefanyika mjini Masasi.

Aidha, amewataka wafanyakazi kuwa na umojaunaosimamia maslahi yao kwa kutumia utaratibu mzuri wa kuwasilisha madai yaokwa Serikali kwani Serikali ni sikivu na inajali maslahi ya wafanyakazi naimejipanga kuyaboresha kadri uchumi unavyoimarika.

Amewaeleza wafanyakazi kuwa, kauli mbiu ya sikuya wafanyakazi mwaka huu 2019, inavyosema nchi haiwezi kufika katika uchumi waviwanda na uchumi wa kati kama hawapo wafanyakazi wenye maslahi bora na amewahakikishiawafanyakazi kuwa maombi na mawazo yao yote yamechukuliwa na yatafanyiwa kazi.

Kwa upande wao, wafanyakazi waliiomba Serikalikupitia viwango vya mishahara ya wafanyakazi wa  umma na sekta binafsi nakuja na viwango vipya  kwa kuwa viwango vilivyopo sasa havikidhi mahitajiukilinganisha na kupanda kwa gharama halisi za maisha za sasa; waliipongezaSerikali kwa kulipa madeni yanayotokana na mishahara, likizo, uhamisho,matibabu na masomo na kuondoa au kupunguza madeni ya watumishi yasiyokuwa yalazima. Hata hivyo waliomba madeni yaliyohakikiwa yalipwe ili kuongeza moraliya kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa.

Pia watumishi waliendelea kuiomba Serikalikuwapandisha madaraja kwa wakati na kurekebishiwa mishahara yao kulingana namadaraja mapya waliyonayo; kuwekwa kwa mazingira yanayovutia ya uwekezaji waviwanda vidogo vidogo ili kuwapa wananchi fursa ya kupata ajira; na Serikalikuongeza idadi ya wafanyakazi kwenye vituo vipya vya afya na hospitali zawilaya ili kuboresha zaidi huduma za afya.

Kauli mbiu ya siku ya wafanyakazi kwa mwaka 2019ni ‘Tanzania ya Uchumi wa Kati inawezekana, wakati wa Mishahara naMaslahi bora kwa wafanyakazi ni sasa’. Maadhimisho Kitaifayamefanyika Mkoani Mbeya ambapo Mgeni rasmi ni Rais wa jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.