• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wasanii jisajilini ili mtambuliwe

Posted on: September 24th, 2018

Maafisa Utamaduni wa halmashauri za mkoa wa Mtwara wakifuatilia mjadala katika kikao kati yao na Maafisa wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kilichofanyika jana Katika ukumbi wa Boma Mkoa ulioko Ofisi ya Mkuu wa mkoa Mtwara

 

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewataka wasanii kote nchini kusajili kazi zao ili kupata fursa ya kutambuliwa na kutambulishwa katika taasisi mbalimbali. Akizungumza katika kikao kazi cha Maafisa Utamaduni wa halmashauri za mkoa wa Mtwara, Mratibu wa Sanaa Kanda ya Kusini Bona Masenge amesema serikali ya awamu ya tano imedhamilia kuhakikisha msaanii wa Tanzania anafanya kazi katika mazingira yanayomuwezesha kujiendeleza zaidi. ili hayo yote yawezekane inapaswa wasajiliwe na kutambuliwa.

Amesema mkakati wa Baraza la Sanaa la Taifa ni kuimarisha mahusiano ya kiutendaji kati ya wasanii, Baraza, mkoa, wilaya na Halmashauri kwa lengo la kuhakiksiha wanafanya kazi kwa ushirikiano.

‘Msanii anaposajiliwa anakuwa na faida ya kutambulika, BASATA pia inapata nafasi ya kumtambulisha kwa jamii na taasisi mbalimbali. hiyo itamsaidia kuwa karibu na wadau wa sanaa na kushikirikishana katika mambo mbalimbali.’ Amesema Masenge.

Kwa upande wake Afisa Utamaduni Mkoa wa Mtwara Fatuma Mtanda amsesema Mkoa uko tayari kutoa ushirikiano kwa wasanii wote hivyo wajitokeze kusajiliwa. amesema gharama za usajilli siyo kubwa hivyo hawana lolote la kuhofia. amewasisitiza Maafisa Utamaduni wa halmashauri kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ili jamii iwaamini.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.