• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

ZIARA YA MKUU WA MKOA WA MTWARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATIKA HALMASHAURI ZA MKOA WA MTWARA

Tuesday 15th, July 2025
@MTWARA MC, MTWARA DC, NANYAMBA TC

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara atakagua miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza kero kutoka kwa wananchi katika maeneo yafuatayo;

1. Mtwara MC

Naliendele: Ujenzi wa madarasa 4 na Matundu 12 katika shule ya Msingi Naliendele.

Likombe: Ujenzi wa Nyumba ya walimu 2 katika 1 shule ya sekondari Likombe

               Ujenzi wa Barabara kiwango cha Lami kata ya Likombe Km 1

Majengo: Ujenzi wa Kisima cha kuvuna maji ya mvua kata ya majengo (TASAF) na kuongea na kusikiliza kero za wananchi.


2. Mtwara DC

Mustafa Sabodo: Kukagua ujenzi wa bweni la wanafunzi wasichana kidato cha tano.

Mkunwa: Kukagua Mradi wa kisima cha kuvuna maji ya mvua (TASAF) Zahanati ya Mkunwa.

               Kukagua Mradi wa kisima cha kuvuna maji ya mvua (TASAF) Shule ya Msingi Mkunwa. 

               Ujenzi wa nyumba ya walimu 2 katika 1 shule ya Sekondari Mkunwa

               kuongea na kusikiliza kero za wananchi katika shule ya sekondari Mkunwa.


3. Nanyamba TC

Namtumbuka: Ujenzi wa ya watumishi 2 katika 1 shule ya sekondari Namtumbuka - kata ya Namtumbuka

Mnyawi:    Mradi wa TASAF - Barabara za jamii - Kata ya Milangominne

Kata ya Milangominne: Kuongea na kusikiliza kero za wananchi.

Namkuku: Ujenzi wa vyumba 2 vya mfano vya elimu ya awali shule ya Msingi Namkuku - kata ya Nanyamba.

Nanyamba B:  Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa vya elimu ya awali shule ya Msingi Nanyamba B - Kata ya Nanyamba

Njengwa:  Mradi wa Maji Njengwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA ATOA SIKU SIKU 10 KUBAINI WAKULIMA AMBAO HAWAJAPATA PEMBEJEO

    July 08, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO YAZINDULIWA MTWARA

    July 05, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • MAREKANI YAVUTIWA KUWEKEZA MTWARA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.