• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

CAG ZIARANI MTWARA; AIPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: September 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala leo tarehe 15 Septemba 2025 amefanya mazungumzo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Dkt. Charles Edward Kichere ambaye yuko mkoani Mtwara kikazi.

CAG. Kichere amesema ziara yake hiyo ni ya kawaida kwa utendaji kazi kwani Ofisi yake ipo kwenye hatua za Ukaguzi katika Taasisi mbalimbali za umma kabla ya kuwasilisha ripoti kwa Mhe. Rais ifikapo mwezi Machi mwakani.


“Mkuu wa Mkoa nikupongeze kwa usimamizi mzuri kuhakikisha hoja zinafanyiwa kazi, pia niipongeze Ofisi yako kwa ujumla kwa kupata hati safi kwa mwaka uliopita.” Aleleza CAG. Kichere

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MSIMU WA 4 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPEWA MADAKTARI BINGWA 54

    September 15, 2025
  • CAG ZIARANI MTWARA; AIPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA KWA KUPATA HATI SAFI

    September 15, 2025
  • BALOZI WA URUSI AVUTIWA NA UTALII MTWARA

    September 10, 2025
  • “KALAMU YA MWANA HABARI INA NGUVU, ITUMIKE VIZURI” RC SAWALA

    September 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.