• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MSIMU WA 4 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPEWA MADAKTARI BINGWA 54

Posted on: September 15th, 2025

Ikiwa ni mara ya pili ndani ya miezi mitatu ya mwaka 2025, leo tarehe 15 Septemba 2025 mkoa wa Mtwara umepokea tena jopo la madaktari bingwa 54 ambao watatoa huduma za afya katika vituo mbalimbali katika Halmashauri zote 9 za mkoa wa Mtwara.

Akipokea madaktari bingwa hao Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dkt. Benedict Ngaiza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mtwara amewataka wakawe chachu ya mapinduzi katika uboreshaji wa huduma za afya ngazi ya msingi hadi Taifa huku akitoa wito kwa wananchi kujitokeza kupata huduma za afya.


Ujio wa madaktari bingwa hao unalenga kusogeza huduma za kibingwa kwa wananchi, ili kupunguza vifo vya akina mama vinavyotokana na changamoto za uzazi, kupunguza vifo vya watoto na watoto wachanga pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu wa afya waliopo kwenye vituo vya afya na hospitali za Halmashauri na Wilaya.

Jopo la madaktari bingwa hao linajumuisha madaktari bingwa wa magonjwa ya Wanawake na Ukunga (Gynaecologist), wa Watoto (Paediatrician), wa Upasuaji/ Bobezi wa mfumo wa mkojo (Urologist), wa Usingizi na Ganzi (Anaesthesiologist), wa Magonjwa ya Ndani (Physician), wa Kinywa na Meno (Dental & Oral Specialist) pamoja na Muuguzi Bobezi.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MSIMU WA 4 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPEWA MADAKTARI BINGWA 54

    September 15, 2025
  • CAG ZIARANI MTWARA; AIPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA KWA KUPATA HATI SAFI

    September 15, 2025
  • BALOZI WA URUSI AVUTIWA NA UTALII MTWARA

    September 10, 2025
  • “KALAMU YA MWANA HABARI INA NGUVU, ITUMIKE VIZURI” RC SAWALA

    September 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.