• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

581 WAHITIMU STEMMUCO; MMOJA AHITIMU SHAHADA YA UCHUMI

Posted on: November 16th, 2024

Mkuu wa Chuo kishiriki cha SAUT tawi la Mtwara, Stella Maris (STEMMUCO) Padre Prof. Thadeus Mkamwa amewatunuku wahitimu 581 astashahada, stashahada na shahada ya kwanza katika mahafali ya 13 yaliyofanyika leo tarehe 16 Novemba 2024.

Mgeni rasmi katika mahafali hayo ambae ni Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Biteko amewaambia wahitimu hao kuwa vyeti watakavyopata pekee havitoshi kukabiliana na changamoto bali maarifa waliyonayo.

“Yawezekeana miongoni mwa wahitimu hawa kuna wengine hawana furaha kwani wanajiuliza nini kitafuata baada ya kuhitimu, nini kesho yao; maswali haya ni kawaida kwa wahitimu lakini nataka niwaambia wakati wote jihamasishe mwenyewe usimuangalie mwenzio. Iwekeni hofu nyuma, kuwa na mwelekeo chanya. Anza kwa namna yoyote inayofaa,nendeni mkajaribu.” Alieleza Dkt. Biteko

Mhe. Biteko aliwasihi wanaoendelea na masomo kuzingatia masomo na kujiepusha na migogoro ya aina yoyote; huku akisisitiza jamii kuwekeza kwenye elimu kwani ni nyenzo muhimu inayoweza kutatua matatizo ya jamii.

Miongoni mwa wahitimu 581 ni mwanafunzi mmoja pekee ndie aliehitimu Shahada ya Uchumi (Bachelor of arts in ecomonics).

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.