• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

ATCL YAREJEA MTWARA KWA KISHINDO

Posted on: February 17th, 2025

Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) lazindua safari za moja kwa moja kati ya Dar es Salaam na Mtwara ambapo ndege aina ya De Havilland Dash 8 - Q400 imetua uwanja wa ndege wa Mtwara na kupewa salamu ya maji “water salute” ikiwa ni ishara ya kuikaribisha.

Akizindua safari hiyo ya kwanza leo tarehe 17 Februari 2025, Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa amelihakikishia shirikika hilo la ndege ushirikiano wa kutosha kutoka Serikali ya mkoa.

“Mtwara ni lango kuu la uchumi wa mikoa ya kusini, niwapongeze ATCL kwa kurejesha safari zake mkoani Mtwara hii itaondoa changamoto za usafiri tulizokuwa nazo kabla ikiwemo suala la bei, hii ni nafuu sana na ndo maana inaitwa nauli za Samia.” Alieleza Mhe. Mwaipaya

Kwa upande wake Rubani kiongozi, Capt. Abdallah Yassin Abdallah ameeleza kuwa wametumia muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam mpaka kufika Mtwara. Pia ameeleza uwezo wa ndege hiyo ni kubeba abiria 78 ambapo miongoni mwa abiria waliosafiri kwa ndege hiyo leo ni timu ya mpira ya Simba.

Taarifa ya ATCL imeeleza kuwa shirika hilo litakuwa likifanya safari zake siku ya Jumatatu, Jumatano na Ijumaa kwa bei ya Shilingi 122,000/= kwenda tu na 199,000/= kwenda na kurudi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.