• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Bandari ya Mtwara ni Bora

Posted on: March 26th, 2018

Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) wakipata maelezo juu ya Bandari ya Mtwara mara baada ya kuitembelea Bandari hiyo leo


Ubora wa Bandari ya Mtwara umeendelea kuonekana huku Zanzibar ikitafakari uwezekano wa kuitumia bandari hiyo kusafirisha mafuta. Hiyo inatokana na maboresho yanayoendelea katika bandari hiyo ikiwemo ujenzi wa Gati mpya yenye urefu wa mita 300 na kina cha mita 14.

Akizungumza na mwandishi wetu leo Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Mwalim Alli Mwalim amesema yeye pamoja na Bodi nzima ya ZURA wameamua kutembelea mkoa wa Mtwara ili kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo fursa ya matumizi ya Bandari hiyo katika kusafirisha mafuta kutoka nje ya Nchi.

Amesema kwa sasa wanaitumia sana Bandari ya Dar es Salaam lakini wamekuwa wakikutana na changamoto mbalimbali ikiwemo kusubiri kwa muda mrefu kupakua mzigo hali ambayo imekuwa haiwapendezi wafanyabiashara.

Mbali na Bandari ya Mtwara Bodi hiyo ambayo itakuwa na ziara ya siku mbili Mkoani hapa itatembelea Kiwanda cha Saruji kcha Dangote, Kituo cha uzalishaji wa Nishati ya Umeme cha Mtwara, Kiwanda cha Kuchakata Gesi Asilia Madimba pamoja na visima vya Gesi asilia vilivyoko Pwani ya Mnazi.

 Amesema yako mengi yanayowavutia kujifunza kutoka Mtwara hasa ikizingatiwa kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati Zanzibar haina muda mrefu tangu imeanzishwa hivyo wanahitaji muda wa kujifunza kutoka sehemu mbalimbal nchini.

Awali akiwasilisha taarifa ya hali ya Bandari ya Mtwara, Mkuu wa Bandari hiyo Nelson Cosmas Mlali amesema maandalizi ya kuanza kusafirisha mafuta kupitia Bandari ya Mtwara ziko katika hatu ya mwisho. Lengo ni kuifanya Mtwara kuwa kituo cha kuhudumia mafuta kwa mikoa ya kusini.

Baadhi ya maboresho yanayoendelea hapo ni pamoja na ujenzi wa gati mpya yenye urefu wa mita 300 na kina cha mita 14. Aidha baada ya maboresho hayo bandari itakuwa na uwezo wa kuhudumia shehema ya tani 600,000 toka 400,000 za sasa.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala Msaidizi anayehughulikia Huduma za Maji na Nishati mkoa wa Mtwara Cosmas Komba ameshukuru ujio wa wageni hao akielezea kuwa ni fursa nzuri ya wageni kujifunza mambo mbalimbali yanayoendelea mkoani Mtwara. amesema Mkoa unazo fursa nyingi ambazo ziko wazi kwa kila mwananchi hivyo wote wanaalikwa.  





Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • IGENI MFANO WA MTWARA KUBORESHA ELIMU – WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF ADOLF MKENDA.

    March 16, 2023
  • TUONGEZE JITIHADA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA: KANALI AHMED ABBAS AHMED

    March 08, 2023
  • NIMERIDHISHWA NA UBUNIFU WA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MWENGE WA UHURU¬_WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU MHE. PROF JOYCE NDALICHAKO.

    March 06, 2023
  • LETENI MAONI YENU TUTABORESHA MFUMO WA UTOAJI HAKI_JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN CHANDE.

    February 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.