• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

BARAZA LA MADIWANI HALAMSHAURI YA WILAYA YA MTWARA

Posted on: June 25th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kutenga muda wa kwenda kusikiliza kero za wananchi ili kujua changamoto zinazowakabili wananchi na kuzifanyia kazi.

Kanali Sawala amesema hayo kwenye mkutano maalumu wa baraza la madiwani kwa ajili ya kupitia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali mwaka 2022/2023.

Amesema kwa kusikiliza kero za wananchi kutachangia wananchi kuipenda serikali yao na kuendelea kuiunga mkono kwa kazi kubwa inayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Aidha Kanali Sawala amewataka viongozi wa Halmashauri hiyo ya Wilaya ya Mtwara kusimamia miradi ya maendeleo inayosimamiwa kwenye ngazi za Halmashauri  iweze kukamilika kwa wakati na kuleta tija kwa wananchi.

Amesema Rais Samia Suluhu Hassan analeta fedha nyingi za miradi ya maendeleo lakini kumekuwa na baadhi ya watumishi wachache kutofanya kazi yao ya kusimamia kwa weledi na kusababisha baadhi ya miradi kushindwa kufanya vizuri na kushindwa kukamilika kwa wakati.


Juni 25, 2024


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.