• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI.

Posted on: June 25th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kusimamia bejeti yake kikamilifu ili kufikia malengo ya ukusanyaji wa mapato.

Akizungumza kwenye kwenye mkutano maalum wa baraza la madiwani kupitia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali mwaka 2022/2023 Kanali Sawala amesema  ili kuiwezesha manispaa kujitosheleza katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa vyanzo vya mapato ya ndani.

Aidha amesema kwa miaka mitatu mfululizo Halmashauri ya manispaa ya Mtwara Mikindani imeshindwa kufikia malengo ya ukusanyaji wa mapato yake ya ndani kulingana na bajeti yake iliyopangwa.

Kwa upande wake katibu Tawala wa mkoa wa Mtwara CPA Bahati Geuzye amewataka viongozi hao wa Halmashauri ya manispaa ya Mtwara Mikindani kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kutumia mfumo mpya wa kieletroniki wa manunuzi ya umma-NEST ambao umeanza kutumika katika mwaka wa fedha wa mwaka huu.

Baraza la madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara mikindani imepata hati safi kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 ambapo Mkuu wa Mkoa Kanali Patrick Sawala ameutaka uongozi huo kuendelea kutimiza majukumu yao kwa weledi ili kuendelea kupata hati safi na  kuondoa hoja zilizojitokeza, zifungwe na kuacha kutengeneza hoja mpya.


Juni 25, 2024.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.