• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

“BEI YA KOROSHO MWAKA HUU ITAKUWA KUBWA KULIKO YA MWAKA JANA” MHE. BASHE

Posted on: October 1st, 2024

Ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa kilimo mkoani Mtwara, leo tarehe 01/10/2024 amekagua eneo la mradi wa ujenzi wa kongani ya viwanda vya kubangua korosho liililopo Maranje, Halmashauri ya Mji Nanyamba aidha amezindua kiwanda cha TANECU cha kubangua korosho kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Newala.


Mhe. Bashe amemuagiza Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho kuhakikisha wanajenga kiwanda cha kubangua korosho chenye uwezo wa kubangua tani 3,000 pamoja na kujenga maghala mawili yatakayoweza kuhifadhi tani 10,000 kila moja kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa korosho 2025/2026 katika eneo la Maranje.


“Niwahakikishie kuwa ruzuku za dawa za maji na sulphur zitaendelea kutolewa bure kwa wakulima wa korosho mpaka pale tutakapoona wakulima wameimarika.” Alieleza Mhe. Bashe


Waziri huyo wa kilimo amewahakikishia wakulima ongezeko la bei ya korosho kwa msimu wa 2024/2025 huku akisisitiza vyama vya vikuu vya Ushirika kuwalipa wakulima ndani ya saa 48 tangu kuuzwa kwa korosho.


“Mkulima anaeuza mazao kwenye chama chochote cha msingi tayari ana sifa ya kuwa mwanachama halali hivyo anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote ya uongozi; tunataka Ushirika urudi kwa wananchi. Nimeshatoa maelekezo kwa Mrajisi na Mkuu wa Mkoa wasimamie kuhakikikisha mikutana inafanyika.” Aliongeza Mhe. Bashe


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuzidi kufungua fursa za kuinua uchumi wa wananchi wa mkoa huo na kuahidi kuisimamia vema sekta ya kilimo ili izidi biashara.


Oct 1, 2024.



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.