• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Bibo la korosho. fursa mpya ya biashara.

Posted on: February 19th, 2020

Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI Naliendele) Dkt. Fortunus Kapinga amesema tunda la bibo linaweza kuwa fursa mpya kwa wakulima wa zao la korosho kujiiinua kiuchumi kwa kutengeneza mvinyo.

Akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Biashara Mkoa wa Mtwara amesema kwa muda mrefu taasisi hiyo imekuwa ikifanya utafiti wa zao la korosho na kugundua bidhaa mbalimbali ikiwemo mvinyo wa mabibo.

Aidha, ugunduzi huo mpya utamuwezesha mkulima kunufaika na mazao mengine ya korosho badala ya ilivyo sasa ambapo thamani ya korosho imekuwa ikionekana kwenye mbegu yake pekee. Aidha uzalishaji huo utaongeza usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi na hivyo kuiongezea serikali mapato.

Amefafanua kuwa teknolojia hiyo ambayo itakuwa ya kwanza hapa nchini inajibu hoja ya muda mrefu ya uongezaji wathamani ya zao la korosho kwa kutumia bidhaa nyingine zinzazotokana na zao hilo. Pia ni njia nzuri zaidi kwani inamsaidia mkulima kuepukana na changamoto ya utunzaji na usafirishaji wa mabibo mabichi.

“Wakulima hawana haja ya kuhofia utunzaji na usafirishaji wa mabibo kwani mabibo yaliyofanyiwa utafiti na kubainika kuwa na sifa hiyo ni yale yaliyokaushwa”. Amesema Kapinga.

Mazao mengine ya korosho yaliyofanyiwa utafiti kituoni hapo ni pamoja na nishati na Mafuta ya kuulia wadudu ambayo yanatengenezwa kutokana na maganda ya korosho, maziwa yanayotengenezwa kutokana na mbegu za korosho pamoja na siagi ya korosho.

Naye Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amepongea hatua hiyo na kuwataka wananchi wa mkoa wa Mtwara kuchangamkia fursa hiyo. Amewataka wafanyabishara wa ndani wanaoshughulika na biashara ya korosho kuanzisha mashamba ili kuongeza uzalishaji. Aidha serikali iko nao bega kwa bega kuhakikisha wanafanikiwa

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.