• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

BRIGEDIA JENERALI MARCO GAGUTI AZINDUA NA KUONGOZA WANAMTWARA KUPATA CHANJO YA UVIKO-19

Posted on: August 3rd, 2021

Na Michael Bakiri - Mtwara RS

MKUU wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Brigadia Jenerali Marco Gaguti leo ameongoza wananchi wa Mtwara katika zoezi la chanjo ya UVIKO-19 iliyoanza kutolewa mkoani humo  leo Agosti, 3,2021, huku akiwataka wananchi wa Mtwara kuendelea kuzingatia taratitibu zote za kujikinga na ugonjwa huo wa korona kama zilivyo elekezwa na wataalamu wa afya.


Akizungumza mara baada ya kuzindua utoaji chanjo ya Korona ngazi ya Mkoa Brigadia Jenerali Gaguti amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua ya kuruhusu Tanzania kuwa miongoni mwa nchi ambazo zimepata chanjo ya UVICO-19.


Brigadia Jenerali amesema katika awamu ya kwanza, Mkoa wa Mtwara umepokea chanjo dozi elfu ishirini ambazo kipaumbele kimeelekezwa kwa wahudumu wa afya, watu wenye umri mkubwa kuanzia miaka 50 na watu wenye changamoto ya maradhi kuanzia miaka 18 na kuendelea.


“Mahitaji ya chanjo kwenye Mkoa wetu wa Mtwara ni mkubwa kwani watu takriban 250,000 mpaka sasa wanahitaji chanjo hii hivyo niwaahiahidi kuwa chanjo zaidi zinakuja mkoani Mtwara na kwa wananchi wanaohitaji tutahakikisha wanafikiwa na kuchanja kulingana na mahitaji” Amesema Brigadia Jenerali Gaguti.

Mkuu wa Mkoa pia ameonya waendesha daladala na vyombo vingine vya usafiri kuhakikisha wanachuku tahadhari kwa kuweke vitakasa mikono kwenye magari yao na kuepuka kujaza watu kupita kiasi.


Chanjo hiyo ya UVIKO-19 imeanza kutolewa leo Kwa Halmashuri ya Mtwara na kuanzia tarehe 04 Agosti, 2021 zitaendelea kusambazwa kwenye Halmashari za Mkoa kupitia vituo vya Afya.  

Zoezi la uzinduzi wa chanjo limehudhuriwa pia na Mkuu wa Wilaya hiyo Dunstan Kyobya, Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini Hassan Mtenga, Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Abdallah Chikota, lakini pia viongozi  wa Chama pamoja na viongozi mbalimbali wa dini walishiriki zoezi hilo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.