• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Byakanwa afunga Mwaka kwa mikakati ya kuibadilisha Mtwara

Posted on: December 29th, 2017

Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Afya na Ustawi wa Jamii Mkoa wa Mtwara Wedson Sichalwe akiwasilisha taarifa ya Idara ya Afya wakati wa kikao cha Mkuu wa Mkoa na Menejimenti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kilichofanyika Leo katika Ukumbi Mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara.


Mkuu Wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amefunga mwaka 2017 kwa kupokea mikakati ya utendaji kazi toka kwa wakuu wa Idara na vitengo wa Ofisi Yake. Katika Kikao hicho kilichofanyika leo kwenye ukumbi mdogo Ofisini kwake Mheshimiwa Byakanwa amepokea taarifa za mafanikio na mikakati ya mwaka unaofuata kwa kila Mkuu wa Seksheni na Kitengo na kuwataka kuacha kufanya kazi kwa umoja na mshikamano.

Mheshimiwa Byakanwa ambaye alichaguliwa kuwa Mkuu wa Mkoa huu Oktoba 26, Mwaka huu amesema anahitaji kuona Ofisi yake inakuwa na umoja na wote wanafanya kazi kwa ushirikiano. Anasema hiyo ndiyo misingi ya mafanikio ambayo itausogeza mkoa katika lengo lililokusudiwa.

Ameongeza kuwa suala hilo lazima liende na ubunifu wa kiongozi husika badala ya kukaa na kusubiri miongozo na mafungu ya fedha yanayoletwa na serikali. anasema kiongoizi mzuri ni yule ambaye anatumia ubunifu wake kufanikiwa yale yaliyoko katika mipango yake.

Awali wakiwasilisha taarifa hizo wakuu wa Idara wameahidi kufanya kazi katika miongozo na maagizo aliyoyatoa kama kiongozi wao.

Mkuu wa Idara ya Utawala na  Usimamizi wa Rasilimali Watu Renatus Mongogwela amesema Idara imejipanga kufanya mabadiliko mengi ikiwemo kuhakikisha inaitumia tovuti ya mkoa na zile za halmashauri ili kutangaza Mkoa na fursa mbalimbalimbali zilizopo.  

Akiitikia mikakati hiyo Mheshimiwa RC ametoa pongezi kwa Afisa Habari wa ofisi yake Evaristy Masuha kwamba anafanya kazi nzuri inayoonekana.

‘Mimi Huwa siyo Mnafiki. Unapofanya jambo jema nakupongeza. Kwa kweli Afisa Habari unafanya kazi nzuri. Unajitahidi kuhuisha taarifa kwa haraka na kwa wakati kwenye tovuti ya Mkoa. endelea na kazi hiyo na ongeza kidogo maboresho niliyoelekeza’ (akimaamisha kutangaza fursa za mkoa ikwemo Bandari ya Mtwara)

Naye Mkuu wa Idara ya Ardhi Mkoa Elias Nyabusani amesema wanatambua migogoro ya ardhi iliyoko hapa mkoani na kwamba wamejipanga kuhakikisha yote inapata ufumbuzi kwa kufuata kanuni, sheria na taratibu zinazoongoza.


Kutazama video ya tukio husika Bonyeza HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.