• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

EWURA watakiwa kutoa elimu kwa wateja wao

Posted on: April 11th, 2019

Viongozi wa taasisi za serikali mkoa wa Mtwara wakifuatilia mada juu ya haki na wajibu wa EWURA kwa wateja wa Nishati na maji iliyokuwa ikitolewa na Meneja mawasiliano kwa Umma, Titus Kaguo leo April 11, 2019 (hayupo pichani) katika ukumbi wa Chuo cha Veta Mtwara


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amewataka Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha wanatoa elimu kwa Umma ili kuhakikisha jamii inatambua wajibu na haki zao katika huduma zinazotolewa Mamlaka hiyo.

Agizo hilo amelitoa wakati akifungua Semina elekezi juu ya wajibu wa (EWURA) katika Ukumbi wa VETA Mtwara April 11, 2019. Semina hiyo ililenga kuwajengea ufahamu viongozi wa Mkoa wa Mtwara juu ya shughuli zinazofanywa na EWURA.

Amesema wananchi wanayo maswali mengi yasiyo na majibu hivyo EWURA wanajukumu la kuhakikisha wananchi hao wanapata ufahamu.

Kwa upande wake Meneja mawasiliano kwa umma, EWURA makao makuu Titus Kaguo amesema mamlaka imejipanga kuhakikisha jamii inafikiwa. Amekili kuwepo na changamoto ya uelewa juu ya haki za wananchi katika huduma za Nishati na Umeme na wamekwua wakijitahidi kutoa elimu kwa njia mbalimbali ikiwemo redio na Televisheni. Amewataka viongozi kutoa ushirikiano kwani wao ndio wako karibu zaidi na jamii.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI UKUSANYAJI WA MAPATO KUONGEZA KASI YA MAENDELEO: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    June 02, 2023
  • JARIDA LA LISHE MKOA WA MTWARA APRILI - JUNI 2023.

    June 01, 2023
  • ANZISHENI MIRADI INAYOZINGATIA MAADILI, MISAADA YA WAHISANI ISIBADILISHE MSIMAMO WENU: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 31, 2023
  • TIMIZENI WAJIBU WENU KATIKA MALEZI YA WATOTO KUJENGA FAMILIA BORA: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.