• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

FURSA ZIPO KARIBUNI MUWEKEZE MTWARA: KANALI AHMED ABBAS AHMED

Posted on: July 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema Mtwara na kisiwa cha Anjoun kilichopo Nchini Comoro wataendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo Biashara, Elimu, Kilimo na Usafirishaji kama njia ya kudumisha uhusiano baina ya pande hizo mbili.


Kanali Abbas ametoa kauli hiyo wakati akimkaribisha Gavana wa Kisiwa cha Anjoun Mhe. Annis chamsidine pamoja na Ujumbe wa Madiwani ofisini kwake na kusema kuwa Comoro na Tanzania zimekuwa na mahusiano mazuri kwa muda mrefu hatua ambayo imechangia kuongeza kasi ya maendeleo baina ya pande zote mbili.


Kwa upande wake Gavana Annis chamsidine ameushukuru uongozi wa mkoa wa Mtwara kwa kufungua milango ya ushirikiano na kusema kuwa Comoro iko tayari kushirikiana kwa namna yeyote ili kuwasaidia wananchi wake kupata huduma muhimu kutoka mkoani Mtwara huku akiomba kutatuliwa changamoto zinazochelewesha utoaji huduma katika sekta za kilimo, biashara, elimu, na usafirishaji.


Gavana wa Kisiwa cha Anjoun Mhe. Annis chamsidine pamoja na Ujumbe wa Madiwani wake wako Mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo wanatarajiwa  kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Bandari ya Mtwara, Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kusini, Mtwara pamoja na jengo la Halmashauri Mji Nanyamba na kujifunza utendaji kazi wa Halmashauri hiyo.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.