Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Halmashauri watakiwa kutatua changamoto za Elimu

Posted on: April 15th, 2019

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Renatus Mongogwela


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Renatus Mongogwela amewataka Wakurugenzi wa halmashauri na washiriki kupokea changamotoza utekelezaji wa shughuli za Mradi wa Tusome pamoja na kuzifanyia kazi.

Ameyasema hayo leo kwenye mkutano wa mapitio ya utekelezaji wa mradi wa Tusome pamoja uliofanyika katika ukumbi wa Naff BeachHotel mjini Mtwara

Amesisitiza kuwa kwa miaka ya hivi karibuni Mkoawa Mtwara umekuwa ukijivunia mafanikio katika mitihani ya darasa la Nne na laSaba kutokana na shughuli nzuri inayofanywa na Mradi.

"Mafanikio ya Mkoa katika mitihani yakitaifa ni kutokana na uwepo wa mradi. Rejeeni matokeo ya darasa la Nne naDarasa la saba mwaka 2018 ambapo mkoa ulikuwa wa Nne kitaifa. Ndugu zangulitakuwa kosa kubwa kama tutashindwa kuundeleza mradi huu. " Amesema.

Mradi wa Tusome pamoja ulianzishwa mwaka 2016chini ya ufadhili wa Watu wa Marekani (USAID) na unatarajia kufikia mwisho januari2021 huku ikitarajiwa Mkoa kuuendeleza.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.