• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi yaibuka mshindi wa kwanza maonesho ya Nanenane 2018

Posted on: August 9th, 2018

Halmashauri ya Wilaya Masasi Mkoani Mtwara imeibuka mshindi wa kwanza wa maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini mwaka 2018 kati ya halmashauri 15 za Mikoa ya Lindi na Mtwara zilizoshiriki maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi.

Mbali na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa halmashauri,  Halmashauri hiyo imekuwa mshindi wa pili wa jumla katika kilele cha maonesho hayo ambayo hufanyika kila mwaka kwa lengo la kutoa maarifa ya kilimo bora kwa wakulima.

Akizungumzia vigezo vilivyotumika katika kumpata mshindi wa maonesho hayo, Mratibu wa maonesho hayo ambaye pia ni Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Sekretarieti ya mkoa wa Mtwara Amani Rusake amesema Ushindi huo umetokana na banda hilo kuweza kutafsiri kwa vitendo kauli mbiu ya maonesho hayo ya “Wekeza katika Kilimo mifugo na uvuvi kwa maendeleo ya viwanda” ambapo teknologia za kisasa zilioneshwa katika mashamba darasa ikiwemo faida za matumizi sahihi ya Pembejeo kama mbegu za kisasa na viwatilifu ili kuwa na uzalishaji wenye tija utakaopelekelea viwanda kuwa na malighafi za kutosha.

Banda la Masasi DC hili hapa

Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Masasi iliweza kuonesha kilimo jumuishi ambapo watu wenye ulemavu wanaweza kushiriki katika kujenga uchumi wa nchi kupitia shughui za kilimo cha bustani wakiwa nyumbani kwa kutumia vifaa rahisi kama makopo, mifuko mataili na vitu vingine ambapo wanaweza kuhudumia kwa urahisi bila kwenda mashamba ya mbali.

Halmashauri imeibuka kidedea baada ya kukidhi vigezo vya kuwa banda bora kwa kuonesha teknolojia za Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa vitendo.

soma habari nzima na picha kwa kubonyeza HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.