• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Harmonize atua Mtwara Tamasha la Masasi Rock Festival

Posted on: June 5th, 2019

Msanii wa Bongo Fleva Rajab Abdul Kahali maarufu kama 'Haromonize' ametua Mjini Mtwara Tayari kuungana na wakazi wa mji wa Masasi kutangaza utalii wa mji huo kupitia mlima Mkomaindo. Harmonize ambaye ametua na kundi la wasanii kutoka nje na ndani ya Tanzania amesema lengo lake ni kuhakikisha sanaa ya kusini inainuka na hivyo kufikia ndoto yake ya kuhakikisha analipa fadhila kwa heshima aliyopewa na watu wa Kusini.

"Nimeona si vema hili tamasha la nyumbani kuja mimi Peke yangu. ninawashabiki wengi nje na ndani ya Tanzania hivyo nimeamua kuja na wasanii wengine kutoka nje ya Tanzania ili wanaMtwara waige kwangu na kwa wasanii hawa". Amesema Harmonize.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amempongeza Harmonize kwa kuwa tayari kuhudhuria tamasha hilo. Amesema uwepo wake utaongeza hamasa na kulifanya tukio lifanikiwe zaidi.

Amesisitiza kuwa lengo lake ni kuhakikisha fursa za utalii kwa mikoa ya kusini inatangazwa zaidi ili kuwavutia watalii na kuinua uchumi wa mkoa.

Tamasha la Masasi Rock Festival linatarajiwa kufanyika kuanzia Juni 6-9, 2019 huko Masasi`. Tamasha hili ambalo linakusudia kutangaza fursa ya utalii kupitia mlima Mkomaindo litahusisha michezo mbalimbali pamoja na kupanda kwenye kilele cha mlima huo`



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.