• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

"JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

Posted on: June 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ameziagiza Halmashauri za Mkoa wa Mtwara kukamilisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ifikapo juni 30, 2025.

Kanali Sawala ametoa rai hiyo mapema Leo 13 juni, 2025 Katika ukumbi wa Tutzing ndanda , Masasi ambapo amesisitiza kuwa Serikali ya mkoa itahakikisha inaelekeza nguvu zake zote kusimamia miradi ya maendeleo, ambayo Serikali imetoka mabilioni ya fedha kuitekeleza , huku akiwapa wiki 2 watendaji Katika halmashauri kukamilisha kazi hiyo.

" Ndugu wakuu wa wilaya, wakurugenzi na watumishi wote ndani ya halmashauri ninawaagiza ifikapo Juni 30,2025 miradi yote iwe imekamilika, inyeshe mvua liwake jua tengeni muda wa ziada, simamieni Kwa karibu fedha mlizoletewa na serikali , mkifanya hivyo mtakuwa salama " alisema Kanali Sawala

Halikadhalika Kanali Sawala amewataka Viongozi na watendaji wote Katika ngazi ya wilaya na halmashauri kutimiza wajibu wao kikamilifu, ikiwemo kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo mpaka kukamilika kwake ,hatua ambayo amesema itawapunguzia adha wananchi wake.

"Ndugu Viongozi na watendaji mlioko hapa Kwa namna moja au nyingine kila mmoja wenu anawajibu kuhakikisha fedha inayoletwa na serikali kutekeleza miradi ya maendeleo inatumika kama ilivyo kusudiwa, hivyo nendeni mkahakikishe adhima ya Serikali inatimia. alisisitiza Kanali Sawala

Katika ziara hiyo ya Siku nne Kanali Patrick Sawala akiambatana na kamati ya ulinzi na usalama Mkoa amekagua jumla ya miradi 12 ya ujenzi wa miundombini ya elimu iliyo gharimu zaidi ya shilingi bilioni 4.6.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.