• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE UWEKEZAJI WA MITAJI YA UMMA (PIC) BANDARINI MTWARA

Posted on: March 25th, 2024

BANDARI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imesema serikali ilifanya jambo la muhimu kuwekeza pesa nyingi katika kuboresha miundombinu ya Bandari ya Mtwara.

Akiongea mara baada ya kamati hiyo kutemebelea bandari hiyo leo tarehe 25 Machi 2024, Mwenyekiti wa kamati hiyo Deus Sangu amesema uwekezaji huo umekuwa na tija kubwa kibiashara katika bandari hiyo.

"Jambo kubwa na la muhimu ambalo serikali ilifanya na limeleta faida kubwa ni uwekezaji wa shilingi takribani bilioni 157 katika Bandari  hii ya Mtwara, uwekezaji huo umeleta mapinduzi makubwa,".

Akitoa taarifa ya maendeleo ya Bandari hiyo, Naibu Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) Mhandisi Juma Kijavara amesema uwekezaji huo umeiwezesha Bandari kuhudumia shehena za tani  milioni 1.1  mizingo na kuvuka lengo.

Kabla ya uwekezaji huo (Shilingi bilioni 157) Bandari hiyo ilikuwa na uwezo wa kuhudumia tani 400,000 tangu ilivyojengwa mwaka 1954.

Kwa mujibu wa taarifa, kipindi cha mwaka 2022/2024 Bandari ya Mtwara ilihudumia mizigo tani 1,126,300 na kuvuka lengo la kusafirisha tani 1000,000.

Kijavara amesema bandari iliweka lengo la kusafirisha tani milioni 1.2 kufika mwaka 2025 ambapo lengo hilo limefikwa kabla ya kipindi husika.

Kwa hatua nyingine, kamati hiyo imetoa wito kwa serikali kuboresha miundombinu ambayo inaunganisha bandari ya sehemu mbalimbali ikiwemo Ruvuma ambapo kunafanyika uchimbaji wa makaa ya mawe ambayo yanasafirishwa kwenda nchi za nje kupitia Bandari ya Mtwara.


Machi 25, 2024

#TunaifunguaMtwara

#KaziIendelee

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.