• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KAMATI YA SIASA MKOA YAAHIDI KUSIMAMIA MAZINGIRA RAFIKI MAENEO YA KAZI

Posted on: January 7th, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Ccm Mkoa wa Mtwara Said Nyengedi amewahakikishia watumishi katika sekta ya Afya Wilayani Nanyumbu kuwa Serikali ya awamu ya sita itaendelea kuweka mazingira rafiki katika maeneo ya kazi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Akizungumza na watumishi wakiwemo wauguzi na madaktari katika hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya mkoa iliyolenga kukagua miradi ya maendeleo , Bw Nyengedi amesema kuwa tayari serikali imeanza kuzipatia ufumbuzi baadhi ya changamoto zinazo ikabili Sekta ya afya ikiwemo uhaba wa watumishi.

“Ndugu wauguzi na madaktari mliopo hapa bila shaka ninyi wote ni mashaidi kuwa Mhe. Dkt Rais Samia Suluhu Hassani anaupenda sana Mkoa wetu maboresho yote mnayo yashuhudia katika hospitali yetu ya Wilaya ni ishara tosha ya upendo kwetu” alisema Bw Nyengedi

Katika ziara hiyo ya kamati ya siasa ya mkoa iliyohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. kanali Patrick Sawala Bw Nyengedi alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali ya Mkoa kwa usimamizi makini wa miradi ya maendeleo hatua ambayo amesema anawatia moyo wananchi kuendelea kuiamini Serikali yao.

“Mwenye macho haambiwi tazama , hivi punde nimemaliza kukagua miundombinu ya sekondari kilimanihewa kwa ujumla nimeridhika kwa hatua iliyofikiwa, niwasihi wazazi ifikapo Januari 13 waruhusuni watoto waanze masomo” alisisitiza Bw Nyengedi.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amemuhakikishia Comredi Nyengedi kuwa Serikali ya Mkoa itaendelea kusimamia kwa uadilifu Fedha zote zinazoletwa kutekeleza miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.