• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Kampeni ya shule ni choo yaja

Posted on: July 29th, 2019

Kampeni ya Shule ni choo inatarajiwa kuzinduliwa mkoani Mtwara September mwaka huu. Kampeini hii itakayodumu kwa kipindi cha mwaka mmoja itawahusisha waliowahi kusoma mkoani mtwara kuchangia ujenzi wa choo kwenye shule walizosoma.

Akitangaza kampeni hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amesema lengo ni kuwashirikisha watanzania kuchangia maendeleo ya shule walizosoma.

 “Hatuoneshi kwenye vyombo vya habari kumdhalilisha mtu bali kumuonesha hali ilivyo kwenye shule aliyosoma, huku tukitambua kuwa hiyo shule ambayo haina hali nzuri, ndiyo iliyomfanya afike hapo alipo”.

Byakanwa amesema upungufu wa matundu ya choo kwa mkoa wa mtwara ni 6,674 ambapo thamani yake ni shilingi Bilioni 6 na milioni mia sita sabini na nane. Matundu yaliyopo kwa sasa ni 5,747 wakati mahitaji ni matundu 11,422.

Kwa upande wa walimu upungufu ni matundu 1864 yenye thamani ya shilingi bilini 1 na milioni mia nane sitini na moja.

Amesema kampeini hii itaanza kwa kutambua watu mbalimbali walioko ndani na nje ya Mkoa wa Mtwara ambao walisoma kwenye shule hizo. Hatua ya pili ni kuonesha hali ya vyoo katika shule hizo kupitia vyombo vya habari na kuwataka waliosoma katika shule hizo wachangie ujenzi wa shule hizo.

Amesisitiza kuwa mkoa hauhitaji kupokea hizo fedha bali wasomi hao wanaweza kuchangia kwa kutumia utaalamu wao.

kwa upande wake Afisa Elimu Mkoa, Germana Mung’aho amesema upungufu huo unachangia katika watoto kutofanya vizuri. Amesema elimu haiishii kujifunza darasani bali ni pamoja na mazingira yanayomzunguka mwalimu na mwananfunzi

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.