• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KANALI SAWALA AONGOZA KIKAO ENDELEVU CHA MFUMO WA M-MAMA

Posted on: July 5th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Kenan Sawala Mapema leo hii aongoza kikao cha Mfumo wa Usafirishaji wa Dharula kwa Akina Mama na Watoto wachanga chini ya siku 28 (M-MAMA)

Akiwa katika kikao hicho amesema, Serikali inayo dhamira ya dhati kabisa ya kuboresha huduma za afya ya uzazi na watoto hapa nchini na kumaliza tatizo la vifo vitokanavyo na uzazi na Vifo vya watoto wachanga.

Aidha Mfumo huu ulizinduliwa rasmi kitaifa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo tar 6/4/2022 na mikoa yote Tanzania ilizindua kwa wakati tofauti ambapo Mkoa wetu wa Mtwara Tulizindua rasmi tar. 22/12/2023 na mfumo kuanza kufanya kazi tar 1/4/2024 baada ya kupitia hatua kadhaa za kujenga uwezo kwa taasisi zetu kwa kuweka vifaa vya mawasiliano na utunzaji wa kumbukumbu katika chumba cha uratibu na mawasiliano kilichopo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ligula  na kuendesha mafunzo kwa watumishi pamoja na madereva wa jamii waliokubali kufanya kazi ya kusafirisha wagonjwa.

Kanali Sawala akaongeza kuwa, Serikali imefanya juhudi kubwa za kuleta magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) ili kuimarisha huduma za rufaa za wagonjwa na hasa mama na mtoto. kwa sasa Mkoa una jumla ya Ambulance 32 ambapo kati ya hizo 13 ni mpya kabisa.

Kabla ya kuhitimisha hotuba yake Kanali Sawala akasisitiza kwamba, rufaa kwa wazazi na watoto wachanga ni jambo la kila mmoja wetu, na ni wajibu wa kila Halmashauri kusimamia mfumo wa M-MAMA kwa kuhakikisha magari ya wagonjwa yako tayari wakati wote na pia zihakikishe  kuna ushirikiano mzuri wa madereva jamii pale ambapo Ambulance haitaweza kufanikisha rufaa hizi

Kanali Sawala amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri ifuatavyo;

Kuendelea kuweka fedha kwenye akaunti ya M-MAMA iliyoanzishwa na Serikali.

Kufanya matengenezo ya mara kwa mara ya magari ya wagonjwa.

Kutoa kipaumbele katika kuidhinisha malipo ya dereva Jamii kwa wakati.


Julai 5, 2024



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.