• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KIKAO CHA KWANZA CHA MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024 MKOANI MTWARA.

Posted on: March 7th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed mapema leo hii afungua kikao cha kwanza cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 katika ukumbi wa Boma Mkoani Mtwara, Ambapo amesema. Nawapongeza sana kwa kazi kubwa tuliyoifanya pamoja kama Mkoa, iliyopelekea Mkoa wetu kuandika historia mpya na ya kipekee kwenye uzinduzi wa Mbio hizi kwa miaka ya hivi karibuni.

Mkoa wa Mtwara utapokea Mwenge wa Uhuru tarehe 30 Mei 2024 toka Mkoa wa Lindi na kuukabidhi tarehe 08 Juni 2024 Mkoani Ruvuma.

Aidha, Kanali Ahmed amesema, kuanzia Mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka huu 2024, Mikoa mitatu (3) bora itakayofanya vizuri itakabidhiwa tuzo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mkoa utakaoshika nafasi ya mwisho utapokea cheti cha utendaji usioridhisha. Hivyo basi sisi kama Mkoa tumeona tuanze kuchagiza kasi ya maandalizi ili tuwe sehemu ya Mikoa mitatu itakayopokea Tuzo kwa kutoa zawadi za vyeti kwa Halmashauri tatu (3) zilizofanya vizuri kwenye Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 zikiongozwa na Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Kanali Ahmed akamalizia kwa kusema, Kikao hiki kituwezeshe kuhakikisha tunainuka na kusonga mbele tukiwa na nguvu mpya kwa mwaka huu, natumaini tutakitumia vyema kufanya majadiliano chanya na kujipanga ipasavyo kufanikisha Mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka huu 2024.

Machi 7, 2024.

#TunaifunguaMtwara

#KaziIendelee.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.