• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KIKAO MAALUM CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA (RCC) MTWARA

Posted on: March 5th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kanali Ahmed Abbas Ahmed afungua kikao maalum cha kamati ya ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Benki kuu ya Tanzania, Tawi la Mtwara.


Watendaji kutoka Halmashauri mbalimbali Mkoani Mtwara wametakiwa kutumia kikao maalum cha kamati ya ushauri cha Mkoa huo kwa mwaka 2024 (RCC) kujadili na kutoa ushauri ili kuboresha mipango na bajeti.


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas ndiye aliyetoa wito huo akiwa kwenye kikao hicho cha RCC kilichofanyika leo, Jumanne Machi 5.2024 kwenye ukumbi wa BOT uliopo Manispaa ya Mtwara Mikindani Katika kikao hicho kilicholenga kujadili ajenda moja maalum kuhusu utekelezaji wa bajeti kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa nusu mwaka wa fedha 2023/2024.


Kanali Ahmed amesema pamoja na majadiliano hayo lakini yapo mafanikio na changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji huo, hivyo amewataka wajumbe kujadili pamoja na kupata ushauri ili kuboresha mipango na bajeti husika


Aidha, Kanali Ahmed ametoa rai kwa watendaji wa Halmashauri zote Mkoani humo kuwajali walioko juu na chini yao ili waweze kukamilisha malengo yanayokusudiwa kwenye maeneo yao.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.