• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Kiwanda cha Yalin - Matunda ya ziara ya JPM Machi 3, 2017

Posted on: April 1st, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli atawasili mkoani Mtwara tarehe 2 April 2019. Pamoja na miradi mingine mingi atakayotembelea na kuzindua, ataweka jiwe la msingi kwenye kiwanda cha kubangua korosho cha Yalin.

Kiwanda hiki ni matunda ya ziara yake ya kwanza mkoani Mtwara aliyoifanya kuanzia tarehe 3 hadi 5 Machi 2017. Ujio wa Mheshimiwa Rais uliamsha ari ya wawekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwemo viwanda vya kubangua korosho na Kiwanda cha Yalin atakachokitembelea ni ushuhuda wa hilo.

Kabla ya ziara ya Mheshimiwa Rais ya Machi 2017 kulikuwa na malalamiko kutoka kwa mwekezaji wa kiwanda cha cha Saruji cha Dangote, Alhaji Aliko Dangote. Dangote alikuwa akilalamika kutopata ushirikiano wa kupata kibali cha kuweka miundmombinu itakayomuwezesha kuzalisha saruji kwa kutumia umeme wa gesi asilia. Aidha, upatikaji wa makaa ya mawe kutoka mchuchuma nao uliingia ukakasi na hivyo kutishia kufungwa kwa kiwanda.  

 

Ujio wa Mheshimiwa Rais ulitatua changamoto zote kwa haraka na hivyo kurudisha imani ya wawekezaji siyo tu kwa Mkoa wa Mtwara bali kwa nchi nzima. Mheshimwa Rais aliagiza ndani ya siku saba Dangote awe amepewa eneo la makaa ya mawe huko Mchuchuma na TPDC wahakikishe gesi inafikishwa kwenye Kiwanda cha Dangote.

Maamuzi hayo ya Mheshimiwa Rais yalidhihirisha utekelezaji wa kauli yake ya kuwa na  Tanzania ya viwanda kwa vitendo na ya uchumi wa kati ifikapo 2025 na kutoa imani kwa wawekezaji wengine.

Bwana Zhu Xiufeng Raia wa China akachangamkia uwekezaji kwa kujenga Kiwanda cha kubangua korosho chenye uwezo wa kubangua tani 10,000 kwa mwaka mitambo yote itakapokamilika kufungwa. kwa sasa kiwanda kina uwezo wa kuzalisha kuanzia tani 27 hadi 30 kwa siku na tani 6,000 kwa mwaka.

Video ya tukio zima hii hapa https://www.youtube.com/watch?v=BVl8APMXzMg

Unaweza kupata video zote za ziara hiyo katika maeneo sita aliyotembelea kwa kuingia kwenye tovuti ya Mkoa wa Mtwara www.mtwara.go.tz au tembelea youtube channel ya Mtwara rs. Usisahau ku-subscribe

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.