• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Klabu za TAKUKURU igeni Ndanda

Posted on: October 2nd, 2019

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019 Mzee Mkongea Ali amezitaka klabu za wapinga rushwa shuleni ziige mfano kutoka shule ya sekondari Ndanda. Amesema klabu nyingi walizokutana nazo katika mikoa waliyopitia zilikuwa zikijihusisha sana na shughuli ya kutoa elimu kwa jamii tofauti na Klabu hiyo ambayo imeenda mbali zaidi katika mapambano hayo.

vijana hao wamemweleza Mkimbiza Mwenge huyo kwamba wanamiradi ya kilimo, ufugaji, utengenezaji wa tofari pamoja na sanaa za utamaduni ambavyo vyote kwa pamoja wamekuwa wakivitumia kuongezea kipato kwa Klabu na wanakikundi.

“Huu ni mkoa wa 30 kati ya mikoa 31 ambayo tunatarajia kuikamilisha hivi karibuni, lakini klabu ya aina hii hatujawahi kuiona. Klabu nyingi tulizokutana nazo zimejikita katika kuelimisha. Si vibaya kuelimisha lakini hawa wamekuja na mbinu mbadala ya kuondokana na mawazo mgando yanayoweza kuwafanya wakawa na fikra potofu katika jamii Klabu zingine zinapaswa kuiga mfano huu”. Amesema Mzee.

Klabu hiyo inayoundwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita katika shule hiyo wameanzisha kilimo cha korosho, Nyanya, Ndizi na Ufugaji wa kisasa. Pia hujishughulisha na michezo ya utamaduni kwa lengo la kutunza asili ya mwafrika.

Mwenge wa Uhuru unaendelea na mbio zake mkoani Mtwara ambapo leo ulikuwa katika siku ya 3 kati ya siku 9 unazotegemea kukimbizwa mkoani Mtwara.

Kaulimbiu ya mwenge wa Uhuru mwaka huu ni “Maji ni haki ya kila mtu. Tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi Mkuu wa serikali za Mitaa”.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.