• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Korosho dili 2017. Rekodi yavunjwa

Posted on: November 3rd, 2017

Bei ya korosho msimu wa 2017 imeendelea kupanda mkoani Mtwara huku ikivunja rekodi ya tangu zao hili kuwepo hapa Mkoani. Katika minada iliyofanyika leo mkoani hapa bei ya juu ya korosho imeuzwa shilingi 4,007 kwa kilo wakati bei ya chini ikiwa shilingi 3880.

Bei ya juu ya korosho iliyowahi kufikiwa mkoani hapa ni ilitokea msimu wa 2016/2017 ambapo bei ya juu ya korosho ilifikia shilingi 4000 wakati uzalishaji ukiwa umepanda hadi kufikia tani 172,771.109  tofauti na tani  106,940.222 zilizokuwa zimezalishwa msimu wa 2015/2016.

Akizungumza na mwandishi wetu Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Mtwara anaeshughulikia uchumi na uzalishaji, Amani Lusake amesema katika mnada uliofanyika katika kijiji cha Mihambwe leo Chama cha Ushirika cha Tandahimba na Newala (TANECU) kimeuza tani 10,000 ambapo bei ya juu ya korosho imeuzwa kwa shilingi 4,007 wakati bei ya chini ni shilingi 3970.

Kwa upande wa Chama cha Ushirika cha Masasi na Mtwara (MAMCU) zimeuzwa tani 16,831.7 ambapo bei ya juu imefikia shilingi 3985 wakati bei ya chini ikiwa ni shilingi 3880.

Bei hii ya korosho ni alama na hatua muhimu ya mafanikio katika kilimo cha Korosho ambacho ni muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Mtwara.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.