• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

LETENI MAONI YENU TUTABORESHA MFUMO WA UTOAJI HAKI_JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN CHANDE.

Posted on: February 28th, 2023

Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman amesema kuwa serikali ipo tayari kuyasikiliza maoni ya wananchi ili kuboresha mwenendo wa utendaji katika sekta ya sheria kwa kufanya maboresho ya kiutendaji kupitia maoni na mitazamo yao.


Mhe. Jaji ameyasema hayo alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na kusisitiza kuwa wakati wa kutatua changamoto zilizoshindikana katika mifumo ya sheria umewadia jambo litakaloongeza imani ya wananchi.


Pia ameongeza kuwa kazi kubwa itakayofanywa katika ziara yake ni kutafuta taarifa sahihi zinazohusiana na utendaji wa Taasisi za haki jinai kwa kuwafikia wananchi wenyewe na kuzungumza nao.


“Tunataka taarifa ya ripoti yetu ikaguse uhalisia wa maisha ya mtanzania ili sasa mapendekezo na mapungufu tutakayoyapata yakatatue kabisa kero zilizopo juu ya michakato ya kiutendaji katika usimamiaji wa sheria” aliongeza Jaji Chande.


Kwa upande wake Kanali Abbas ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia  Suluhu  Hassan kwa kuona umuhimu wa kuwasikiliza wananchi na kupata maoni yao kwani ni njia itakayoboresha mchakato wa upatikanaji wa haki hasa katika taasisi zinazosimamia sheria na utawala bora.   


Ziara hiyo inayoshirikisha timu yenye wajumbe11 inayoongozwa na Jaji Mkuu Mstaafu Othman Chande inalenga kufanya tathimini ya utendaji katika taasisi za sheria sambamba na kukusanya maoni na taarifa zitakazosaidia kufanya maboresho katika mfumo wa utoaji haki / Sheria na Haki Jinai.


MWISHO.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MELI YA KWANZA YENYE SHEHENA YA KOROSHO YAANZA SAFARI KUTOKA BANDARI YA MTWARA

    November 09, 2023
  • KANALI AHMED ABBAS AHMED AWAONYA BAADHI YA WAFANYABIASHARA WANAOHUJUMU ZOEZI LA USAFIRISHAJI WA KOROSHO KUPITIA BANDARI YA MTWARA.

    November 08, 2023
  • SERIKALI YATOA BILIONI 8 KUTEKELEZA MIRADI 7 YA MAJI

    October 24, 2023
  • TUMIENI PEMBEJEO ZA RUZUKU KUONGEZA TIJA SHAMBANI

    October 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.