• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Lukuvi kuzindua Mpango Kabambe wa Mji wa Mtwara Mei 2.

Posted on: April 25th, 2017


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Mtwara katika ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara katika ziara yake ya kikazi mkoani hapa mapema mwaka 2015 (Picha kutoka Maktaba).


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Mpango Kabambe wa Mji wa Mtwara. Zoezi hili linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Boma Mkoa ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mei 2, mwaka huu kuanzia saa 2 asubuhi.

Akielezea mikakati ya zoezi hilo Afisa MipangoMiji mkoa wa Mtwara Bi, Janepher Shadrack Kimaro amesema maandalizi yamekamilika, hivyo awataka waalikwa wote kujitokeza kwa wingi.

Amaesema mpango huo ambao umeandaliwa kwa ushirikiano wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na uongozi wa Mkoa na halmashauri mbili za Manispaa ya Mtwara Mikindani na Halmashauri ya Wilaya Mtwara, unakusudia  kukidhi mahitaji ya kukua kwa mji wa Mtwara kwa miaka 20 kuanzia 2015. Mpango huu unajumuisha hekta 95,117 ambazo ni eneo lote la Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata 9 za Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Aidha idadi ya watu walio kwenye eneo hili la mpango kwa sasa ni 170,000, katika kipindi cha miaka 20 mpaka 2035 idadi ya watu inatazamiwa kuongezeka na kufika 1.7milioni.

Kuhusu lengo na maono ya mpango huo ni kuhakikisha kuwa kufika mwaka 2035 Mtwara kinakuwa kituo muhimu cha uwekezaji na kitovu cha huduma na shughuli muhimu za usafiri na usafirishaji katika ukanda wa mikoa ya kusini mwa Tanzania hususani mikoa ya Lindi, Mtwara Ruvuma na Njombe na ukanda wa maendeleo wa Mtwara ambao unahusisha nchi za Tanzania, Msumbiji, Malawi, Zambia na Afrika ya kusini. Pia kuifanya Mtwara kuwa Jiji lenye ustawi wa maisha shindani na majiji yaliyo kwenye ukanda wa bahari ya hindi, mashariki na kusini mwa Afrika.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • IGENI MFANO WA MTWARA KUBORESHA ELIMU – WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF ADOLF MKENDA.

    March 16, 2023
  • TUONGEZE JITIHADA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA: KANALI AHMED ABBAS AHMED

    March 08, 2023
  • NIMERIDHISHWA NA UBUNIFU WA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MWENGE WA UHURU¬_WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU MHE. PROF JOYCE NDALICHAKO.

    March 06, 2023
  • LETENI MAONI YENU TUTABORESHA MFUMO WA UTOAJI HAKI_JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN CHANDE.

    February 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.