• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Maafisa Tarafa wakabidhiwa Pikipiki Mtwara

Posted on: May 18th, 2020

Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Mtwara anayeshughulikia Rasilimali Watu, Renatus Mongogwela amekabidhi pikipiki 12 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa 12 Mkoani Mtwara.

Pikipiki hizo zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa Aprili 6. 2019, baada ya kufanya kikao-kazi na maafisa Tarafa wote nchini alipokutana nao Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Hii inafanya Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 31 za mkoa wa Mtwara kuwa na usafiri wa Pikipiki ambapo June 20, 2018 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa aliwakabidhi Maafisa Tarafa 20 pikipiki zenye thamani ya shilingi milioni 48. Fedha hizo zilipatikana baada ya Serikali ya Mkoa kuzitenga kutoka bajeti yake ya mwaka 2017/2018.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Mongogwela amewataka maafisa Tarafa hao kuhakikisha wanazitunza pikipiki hizo. Amesema serikali ina nia ya dhati kuhakikisha inatatua changamoto zinazowakumbwa watumishi wote wa umma hivyo wasikate tamaa pale wanapokutana na changamoto.

Naye Dotto Omari Nyirenda, Afisa Tarafa Tarafa ya Mchichira wilayani Tandahimba amemshukuu Mheshimiwa Rais kwa msaada huo na kwamba Pikipiki hizo zitasaidia kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto ya usafiri. Amesema  walikuwa wakilazimika kukodi usafiri na hivyo kutumia gharama kubwa kuendesha Tarafa. “Tunaenda kuchapa kazi kwani changamoto kubwa iliyokuwa ikitusumbua kwa muda mrefu imepatiwa ufumbuzi”. Amesema Dotto.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.