• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Maafisa waandikishaji Daftari la Wapiga Kura Wafundwa

Posted on: January 3rd, 2020

Maafisa waaandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wametakiwa kuzingatia misingi ya haki na sheria katika kuwaandikisha wapiga kura. Rai hiyo imetolewa leo Januari 3, 2020 na Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omari Mapuli wakati wa semina fupi ya mafunzo ya uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura iliyofanyika ukumbi wa Boma Mkoa Mkoani Mtwara

Amesema lengo la serikali ni kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki hivyo uandikishaji ni hatua muhimu inayotakiwa kuzingatia misingi hiyo.

“Zoezi hili ni zoezi ambalo linaendeshwa kwa mjibu wa sheria, kanuni pamoja na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, hivyo pamoja na uzoefu wa siku za nyuma ni vema kuzingatia mafunzo ili tukatekeleze zoezi ipasavyo na katika muktadha wa sasa.” Amesema Mapuli

Amesema zipo changamoto ambazo zilibainishwa kutoka kwa wandikishaji wasaidizi pamoja na waandishi wasaidizi wa BVR Kit ambazo ni pamoja na kutokufuata ama kutozingatia ratiba ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura iliyotolewa na Tume, pia kutokufanya mandalizi ya mafunzo mapema suala ambalo linapelekea kufanya mafunzo kukosa ufanisi uliokusudiwa.

Changamoto zingine ni kutozingatia maelekezo ya utunzaji wa vifaa.

Aidha, amewahakikishia kuwa serikali ya Mkoa ambako zoezi hilo linatekelezwa imejipanga kuhakikisha changamoto zote zinatatuliwa.

Mafunzo haya yaliwahusisha Maafisa Waandikishaji, waandikishaji Wasaidizi, Maafisa wa Uchaguzi ngazi ya halmashauri pamoja na Maafisa TEHAMA huku zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura likitarajiwa kufanyika kuanzia Januari 12 hadi 18, 2020.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.