• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Magufuli apongezwa kwa maandamano Masasi.

Posted on: June 22nd, 2017

Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Masasi wamefanya maandamano ya amani kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kusimamia rasilimali za Tanzania.

Maandamano hayo yaliyofanyika leo yakianzia Ofisi za Chama cha Mapinduzi wilaya ya Masasi na kuishia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi yalipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mheshimwa Seleman Mzee.

Akizungumza baada ya kupokea maandamano hayo Mheshimiwa Mzee amesema kazi nzuri inayofanywa na Mheshimwai Magufuli inastahili pongezi kwa kila mtanzania mwenye kuitakia mema Tanzania, amewasifu vijana hao na kuwataka wawe mstari wa mbele kusimamia maagizo yanayotolewa na Mheshimiwa Rais pamoja na viongozi wengine wa serikali.

Kwa upande wake Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi, Alfred Mwambeleko amesema wameamua kufanya maandamano hayo kutokana na kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Mheshimwia Rais katika kusukuma mbele maendeleo ya Nchi. Amesema wao kama sehemu ya kundi ndani ya Chama cha Mapinduzi wameona busara kuungana na watanzania wengine katika kumpongeza Mheshimwa Rais hasa katika ushujaa aliouonesha kuzuia usafirishaji wa Makinikia kwenda nje ya nchi na hatimaye kamati alizoziunda kugundua wizi mkubwa wa rasilimali za nchi.

Amesema umoja wa vijana Masasi wako pamoja naye na wanamtakia mapambano mema.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Mzee Kazumari amesema Vyama vya upinzani vinavyobeza jitihada za Mheshimiwa Magufuli vinapoteza muda. Amesema kwa jinsi Mheshimiwa Rais anavyoendesha nchi vyama vya upinzania havina haja ya kuwepo bali kuungana na CCM ili kusuma maendeleo ya Nchi.


Kuangalia Video yake Bonyeza HAPA

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI UKUSANYAJI WA MAPATO KUONGEZA KASI YA MAENDELEO: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    June 02, 2023
  • JARIDA LA LISHE MKOA WA MTWARA APRILI - JUNI 2023.

    June 01, 2023
  • ANZISHENI MIRADI INAYOZINGATIA MAADILI, MISAADA YA WAHISANI ISIBADILISHE MSIMAMO WENU: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 31, 2023
  • TIMIZENI WAJIBU WENU KATIKA MALEZI YA WATOTO KUJENGA FAMILIA BORA: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.