• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mamba wala watu kudhibitiwa Masasi

Posted on: December 7th, 2017

Na Joina Nzali. Afisa Habari Masasi DC

Tatizo la wananchi wengi wa kata zilizopo pembezoni mwa mto Ruvuma katika halmashauri ya wilaya ya masasi kupoteza maisha au kupata ulemavu wa kudumu kutokana na mamba wanaopatikana katika mto huo linatarajiwa kuisha baada ya mradi wa maji unaotekelezwa kutokana na chanzo mto huo kukamilika.

Kauli hiyo imetolewa na Mhandisi wa maji wa halmashauri hiyo Mhandisi Francis Bwire wakati akikagua utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 2.7 ambao unatarajia kusambaza maji katika vijiji 8 vyenye jumla ya watu 17420 ndani ya kata ya chikolopola na Mnavira.

Amesema kuwa wananchi wa kata hizo kwa kipindi kirefu wamekuwa wakitegemea mto Ruvuma kupata huduma ya maji kwa matumizi mbalimbali hali ambayo imekuwa ikipelekea wananchi wengi kujeruhiwa au kuuawa na mamba wakati wa kuchota maji na shughuli zingine, hivyo mradi huu utaondoa kabisa tatizo hili kwa kuwa wananhawatahitaji kupata huduma ya maji mtoni bali watapelekewa katikamaeneo yao.

“watu wengi wamepoteza maisha huku wengine wakipata ulemavu wa kudumu uliosababishwa na mamba wanaopatikana katika mto Ruvuma” alisema Bwire.

Bwire amesema utekelezaji wa mradi huo hadi sasa upo asilimia 70 ambapo ujenzi wa matenki mawili yenye ujazo wa lita 100,000, ukarabati wa tanki 1 lenye ujazo wa lita 25,000, ujenzi wa vituo 38 vya kuchote maji, ulazaji wa bomba kubwa kilimita 12 na dogo kilomita 9 umekamilika na ujenzi wa chanzo unaendelea.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.