• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

Posted on: May 17th, 2025

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 zimebisha hodi Mkoani Mtwara Leo Mei 17,2025 ambapo unatarajiwa kuzindua, kutembelea na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi yenye thamani ya zaidi Shilingi Bilioni 18.3

Mara baada ya kuwasili Mkoani Mtwara Mwenge wa Uhuru ulianza kukimbizwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu ambapo uliweka jiwe la msingi katika Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya maji katika Kijiji cha Michiga na baadae kukagua na kuona shamba la miti la mfano katika Kijiji cha Chinyanyira wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 33.8.

Halikadhalika Mwenge wa Uhuru katika siku yake ya kwanza Mkoani Mtwara uliweka jiwe la msingi katika Ujenzi wa Mradi wa vyumba vya madarasa na Ofisi za walimu uliogharimu Shilingi milioni 55.35.

Na baadae Mwenge wa Uhuru Ulikagua na kuona Mradi wa kikundi cha vijana cha usafirishaji abiria boda boda na baada kuweka jiwe la msingi katika zahanati ya Namaguruvi na kuhitimisha siku yake ya kwanza Kwa kuweka jiwe la msingi katika Ujenzi wa barababara ya msangi na Jerome Kwa kiwango cha lami yenye thamani ya Shilingi milioni 755.2.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.